Rapper kutoka YMCMB Mkali wa ngoma ya Rack City Tyga ameripotiwa
kutengeneza, kudirect movie ya ngono ambayo itaitwa Rack City jina la
ngoma yake iliyofanya vizuri ya Rack City. Kufanya hivyo atakuwa
amefuata nyayo za Snoop Dogg, 50 cent, Lloyd Banks na Big Daddy Kane.
Mkali Tyga ameamua kujitosa katika soko hilo la ngono.
No comments:
Post a Comment